• HABARI MPYA

    Tuesday, October 01, 2013

    LUKAKU ALIYEONEKANA HAFAI CHELSEA YA MOURINHO AIFUNGIA MAWILI EVERTON IKIICHAPA NEWCASTLE USIKU HUU

    IMEWEKWA OKTOBA 1, 2013 SAA 7:07 USIKU
    MSHAMBULIAJI Romelu Lukaku amefunga mabao mawili katika ushindi wa 3-2 wa Everton usiku huu dhidi ya Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England uliofanyika Uwanja wa Goodison Park.
    Lukaku alifunga mabao hayo katika dakika za tano na 37,wakati lingine lilifungwa na Barkley dakika ya 25 na mabao ya Newcastle United yalifungwa na Cabaye dakika ya 51 na Remy dakika ya 89.
    Mshambuliaji huyo anamuonyesha kocha wa Chelsea, Mreno Jose Mourinho kwamba alikosea kumruhusu kuondoka majira ya joto. 
    Kikosi cha Everton kilikuwa; Howard, Baines, Distin, Jagielka, Coleman, Mirallas/Deulofeu dk73, McCarthy, Barry, Osman/Stones dk90, Barkley/Naismith dk88 na Lukaku.
    Newcastle United: Krul, Debuchy, Yanga-Mbiwa/Williamson dk45, Coloccini, Santon, Anita/Cisse dk69, Tiote, Sissoko, Gouffran, Remy na Ben Arfa/Cabaye dk45.
    Main man: Romelu Lukaku scored two of Everton's goals to put Newcastle to the sword at Goodison Park
    Mtu hatari: Romelu Lukaku ameifungia mabao mawili Everton ikiilaza Newcastle 3-2 Uwanja wa Goodison ParkOpening salvo: Lukaku needed just five minutes to score Everton's first as they eased to victory
    Dakika tano zilitosha kwa Lukaku kufunga bao la kwanzaBright spark: Ross Barkley continued to showcase his potential with a calmly taken second goal for Everton
    Barkley akishangilia baada ya kufunga
    Open goal: A defensive mistake from Newcastle allowed Lukaku to slam the ball home from close range
    Lukaku akifunga bao la kwanzaOpen goal: A defensive mistake from Newcastle allowed Lukaku to slam the ball home from close range
    Lukaku akifunga bao lake la pili
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: LUKAKU ALIYEONEKANA HAFAI CHELSEA YA MOURINHO AIFUNGIA MAWILI EVERTON IKIICHAPA NEWCASTLE USIKU HUU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top