• HABARI MPYA

    Monday, September 30, 2013

    MSHAMBULIAJI WA ARSENAL ATAKA KUZIPIGA UWANJANI, ASINGEAMULIWA...

    IMEWEKWA SEPTEMBA 30, 2013 SAA 10:37 JIONI
    WACHEZAJI wa Crystal Palace, Marouane Chamakh na Dean Moxey ilibidi watenganishwe na wachezaji wenzao baada ya kugombana katika chumba cha kubadilishia nguo Jumamosi wakicheza na Southampton.
    Ugomvi huo ulifuatia kipigo cha mabao walichopewa Palace cha maao 2-0 – ambacho ni cha sita katika mechi sabaza Ligi Kuu England msimu huu – kinachoifanya timu hiyo ya Ian Holloway ishike nafasi ya pili kutoka mkiani.
    Haifahamiki chanzo cha ugomzi wao, lakini Holloway hakufurahishwa na kitendo cha Chamakh, baada ya mshambuliaji huyo wa zamani wa Arsenal kuonyeshwa kadi kwa kujirusha Uwanja wa St Mary’s kipindi cha kwanza.
    Bust up: Marouane Chamakh's and Dean Moxey's fallout continued in the Crystal Palace dressing room
    Wanawakiana: Marouane Chamakh akifokeana na Dean Moxey, ugomi ambao uliendelea hadi chumba chao cha kubadilishia nguo

    Palace iliombwa kuzungumzia tukio hilo, lakini ilikataa.
    Chamakh alifika karibu na lango la wapinzani dakika ya 27 Uwanja wa St Mary's na akajirusha ili kusaka penalti ingawa angeweza kupiga shuti kujaribu kufunga.
    Baada ya hapo walijizibizana na Moxey uwanjani wakati mchezo ukiendelea, ugomvi kumbe uliendelea hadi chumbani.
    Angry duo: Chamakh made no secret of the fact he was unhappy to be booked
    Ilibaki kuchapana tu: Chamakh na Moxey waliwakiana sana Uwanja wa St Mary's
    Dive? Chamakh was booked for going down from this goalscoring opportunity
    Kujirusha? Chamakh alipewa kadi kwa kujiangusha akiwa kwenye nafasi ya kufunga
    Theatrical? Palace boss Holloway was also upset at the incident
    Muongo? Kocha wa Palace, Holloway pia hakufurahishwa na kitendo hiki
    Contact? Palace were not given a penalty when Chamakh went down
    Aliguswa? Palace hawakupewa penalti Chamakh alipoanguka
    Controversy: Chamakh was booked for diving during a goalscoring opportunity
    Hasira: Chamakh akionyeshwa kadi ya njano kwa kujiangusha
    New arrival: Former Arsenal striker Chamakh only arrived at Palace in the summer
    Mchezaji mpya: Mshambuliaji wa zamani wa Arsenal, Chamakh amejiunga na Palace majira haya ya joto
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MSHAMBULIAJI WA ARSENAL ATAKA KUZIPIGA UWANJANI, ASINGEAMULIWA... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top