// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
SIMBA SC YAWATEMA DUNCAN NYONI NA MWINGINE MMOJA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINESIMBA SC YAWATEMA DUNCAN NYONI NA MWINGINE MMOJA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
KLABU ya Simba imevunja mkataba na wachezaji wengine wawili, kiungo Abdulsamad Kassim Ali na winga Mmalawi, Duncan Nyoni ambao wote walisajiliwa mwanzoni mwa msimu, Agosti mwaka jana. Wawili hao wanafanya idadi ya wachezaji walioachwa Simba kufika watatu baada ya kiungo mwingine mzawa, Ibrahim Ajibu Migomba aliyehamia Azam FC. Aisha, Wekundu hao wa Msimbazi wamemtoa kwa mkopo kipa Jeremiah Kisubi kwenda Mtibwa Sugar hadi mwishoni mwa msimu. Kasubi pia alisajiliwa mwanzoni mwa msimu kutoka Tanzania Prisons.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment