TIMU ya Namungo FC imeanza vyema michuano ya Kombe la Mapinduzi baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Meli 4 City katika mchezo wa Kundi A jioni ya leo Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Mabao ya Namungo leo yamefungwa na Ali Saleh aliyefunga dakika ya 21 na Mzambia, Obrey Chirwa dakika ya 80 kwa penalti, wakati la Meli 4 City limefungwa na Hussein Mwinyi dakika ya 90 na ushei.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment