Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akiwa ameshika tuzo ya Ballon d'Or 2019 baada ya kukabidhiwa jana Jijini Paris, Ufaransa kufuatia kushinda kwa mara ya sita ambayo inakuwa rekodi. Messi amewashinda beki Mholanzi, Virgil van Dijk aliyemaliza wa pili na mshambuliaji Mreno, Cristiano Ronaldo aliyeshika nafasi ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anreiseinformationen für das U23-Heimspiel gegen Mannheim
-
Am Samstag um 14 Uhr trifft die U23 von Borussia Dortmund im Stadion Rote
Erde auf den SV Waldhof Mannheim. Aufgrund einer Baustelle auf der
Strobelallee i...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment