Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akiwa ameshika tuzo ya Ballon d'Or 2019 baada ya kukabidhiwa jana Jijini Paris, Ufaransa kufuatia kushinda kwa mara ya sita ambayo inakuwa rekodi. Messi amewashinda beki Mholanzi, Virgil van Dijk aliyemaliza wa pili na mshambuliaji Mreno, Cristiano Ronaldo aliyeshika nafasi ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
BMW iX3 review: Electric SUV with 500-mile range marks new era
-
Neue Klasse technology, 800-volt charging and impressive efficiency make
this model one of the most advanced electric SUVs yet
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment