Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akiwa ameshika tuzo ya Ballon d'Or 2019 baada ya kukabidhiwa jana Jijini Paris, Ufaransa kufuatia kushinda kwa mara ya sita ambayo inakuwa rekodi. Messi amewashinda beki Mholanzi, Virgil van Dijk aliyemaliza wa pili na mshambuliaji Mreno, Cristiano Ronaldo aliyeshika nafasi ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
AFL axes Appeals Board chair in explosive fallout from Lance Collard
homophobic slur verdict
-
AFL boss Andrew Dillon has fired back at a controversial decision from the
code's appeals board to reduce a player's suspension by seven weeks
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment