Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akiwa ameshika tuzo ya Ballon d'Or 2019 baada ya kukabidhiwa jana Jijini Paris, Ufaransa kufuatia kushinda kwa mara ya sita ambayo inakuwa rekodi. Messi amewashinda beki Mholanzi, Virgil van Dijk aliyemaliza wa pili na mshambuliaji Mreno, Cristiano Ronaldo aliyeshika nafasi ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Martinez restores Argentina's lead against Cape Verde
-
Lisandro Martinez restores Argentina's lead against Cape Verde in the
knockout stage of the 2026 World Cup.
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment