• HABARI MPYA

    Tuesday, December 03, 2019

    MESSI ASHINDA TUZO YA BALLON D'OR KWA MARA YA SITA YA REKODI

    Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akiwa ameshika tuzo ya Ballon d'Or 2019 baada ya kukabidhiwa jana Jijini Paris, Ufaransa kufuatia kushinda kwa mara ya sita ambayo inakuwa rekodi. Messi amewashinda beki Mholanzi, Virgil van Dijk aliyemaliza wa pili na mshambuliaji Mreno, Cristiano Ronaldo aliyeshika nafasi ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MESSI ASHINDA TUZO YA BALLON D'OR KWA MARA YA SITA YA REKODI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top