Wachezaji wa Arsenal wakirejea katikati kinyonge baada ya kuruhusu bao wakichapwa 2-1 na Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Emirates, London. Mabao ya Brighton yalifungwa na Adam Webster dakika ya 36 na Neal Maupay dakika ya 80, wakati la Arsenal lilifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Boston Red Sox fire manager Alex Cora and four coaches after their shocking
start to the MLB season
-
It comes just hours after the Red Sox beat the Baltimore Orioles 17-1 on
Saturday but their record for the season stands at 10-17.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment