Wachezaji wa Arsenal wakirejea katikati kinyonge baada ya kuruhusu bao wakichapwa 2-1 na Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Emirates, London. Mabao ya Brighton yalifungwa na Adam Webster dakika ya 36 na Neal Maupay dakika ya 80, wakati la Arsenal lilifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Raiders Trade Rumors: Penix Jr., Spencer Rattler Linked Despite 'Love' for
Daniels
-
The Las Vegas Raiders "would love" to draft Jayden Daniels, but the LSU
quarterback may be out of their reach if the Washington Commanders select
him with…
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment