Wachezaji wa Arsenal wakirejea katikati kinyonge baada ya kuruhusu bao wakichapwa 2-1 na Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Emirates, London. Mabao ya Brighton yalifungwa na Adam Webster dakika ya 36 na Neal Maupay dakika ya 80, wakati la Arsenal lilifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Christian Horner set to return to paddock at Silverstone this weekend for
first time since controversial Red Bull exit... after declaring he has
'unfinished business' in Formula One
-
JONATHAN MCEVOY: Christian Horner is expected to attend this weekend's
British Grand Prix in what would be his first visit to the Formula One
paddock since...
46 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment