Lionel Messi akishangilia baada ya kufunga kwa penalti dakika ya 43 kufuatia Gerard Pique kuchezewa rafu katika ushindi wa 1-0 wa Barcelona dhidi ya Real Valladolid kwenye mchezo wa La Liga jana usiku wa jana Uwanja wa Camo Nou. Messi alikosa penalti nyingine zikiwa zimesalia dakika sita na sasa Barcelona inaizidi kwa pointi saba Atletico Madrid kileleni mwa La Liga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🏆 Champions League returns: all you need to know about the last 16
-
The UEFA Champions League enters its most exciting phase. After a draw that
resulted in matchups worthy of an early final, the 16 best teams on the
contine...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment