Lionel Messi akishangilia baada ya kufunga kwa penalti dakika ya 43 kufuatia Gerard Pique kuchezewa rafu katika ushindi wa 1-0 wa Barcelona dhidi ya Real Valladolid kwenye mchezo wa La Liga jana usiku wa jana Uwanja wa Camo Nou. Messi alikosa penalti nyingine zikiwa zimesalia dakika sita na sasa Barcelona inaizidi kwa pointi saba Atletico Madrid kileleni mwa La Liga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United pair Marcus Rashford and Jadon Sancho are almost certain to miss out on the England squad
-
Gareth Southgate is due to announce his squad ahead of the Three Lions
Nations League matches against Hungary, Germany and Italy next month. Both
Rashford ...
Dakika 31 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni