Mshambuliaji Mfaransa kinda wa umri wa miaka 20, Kylian Mbappe akishangilia baada ya kuifungia Paris Saint-Germain bao la pili dakika ya 60 kufuatia Presnel Kimpembe kufunga la kwanza dakika ya 53 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Manchester Uinited Uwanja wa Old Trafford kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana. Huo unakuwa mchezo wa kwanza Man United ambayo ilimaliza pungufu baada ya kiungo wake, Paul Pogba kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 89, kupoteza chini ya kocha mpya wa muda, Ole Gunnar Solskjaer PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brighton vs Chelsea - Premier League LIVE: Latest score, team news and
updates as Seagulls can leapfrog misfiring Blues with a win
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Brighton welcome Chelsea to the Amex Stadium in the Premier
League.
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment