Mshambuliaji Mfaransa kinda wa umri wa miaka 20, Kylian Mbappe akishangilia baada ya kuifungia Paris Saint-Germain bao la pili dakika ya 60 kufuatia Presnel Kimpembe kufunga la kwanza dakika ya 53 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Manchester Uinited Uwanja wa Old Trafford kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana. Huo unakuwa mchezo wa kwanza Man United ambayo ilimaliza pungufu baada ya kiungo wake, Paul Pogba kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 89, kupoteza chini ya kocha mpya wa muda, Ole Gunnar Solskjaer PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid make first move in pursuit of Chelsea midfielder Enzo Fernandez
- who is valued at £120m
-
Real have long been linked on the assumption that they would be one of the
few clubs in world football who could afford the 25-year-old Argentinian
World C...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment