Mshambuliaji wa Yanga SC, Edibily Jonas Lunyamila (kulia) akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Simba SC, Mathias Mulumba katika mchezo wa Kombe La Hedex Juni 30, mwaka 1996 Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza. Yanga ilishinda 2-0, mabao ya Bakari Malima ‘Jembe Ulaya’ na Lunyamila aliyekuwa anacheza mechi hiyo akitokea Ujerumani ambako alikwenda kufanya majaribio ya kucheza soka ya kulipwa
Monza reveal home and away kits designed by Nike for 2026/27
-
Newly-promoted Monza took the unusual step of unveiling both the home and
away kits for the 2026/27 season together, both designed by Nike.The club
earned ...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment