Mshambuliaji wa Yanga SC, Edibily Jonas Lunyamila (kulia) akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Simba SC, Mathias Mulumba katika mchezo wa Kombe La Hedex Juni 30, mwaka 1996 Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza. Yanga ilishinda 2-0, mabao ya Bakari Malima ‘Jembe Ulaya’ na Lunyamila aliyekuwa anacheza mechi hiyo akitokea Ujerumani ambako alikwenda kufanya majaribio ya kucheza soka ya kulipwa
Rio Ferdinand lists players Man Utd should sell saying midfielder must have 'hard conversations'
-
While the club are currently in the midst of a take-over , the Dutchman
recently admitted that he was 'in the dark' around how much he would be
able to spe...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment