Mshambuliaji Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili dakika ya tisa na 20 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Anfield. Mabao mengine yalifungwa na mshambuliaji Divock Origi dakika ya 66 na Virgil van Dijk mawili pia dakika za 79 na 82 na kwa ushindi huo, Liverpool inafikisha pointi 69 na kuendelea kuongoza Ligi Kuu ya England kwa pointi moja zaidi ya mabingwa watetezi, Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal hold positive contract talks with Gabriel Magalhaes as they look to
reward the defender with fresh terms for playing a key role in title charge
-
The Brazil international (left), who has emerged as one of the leaders of
the Gunners title charge, only signed a new contract in October 2022 - but
the cl...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment