• HABARI MPYA

    Friday, February 15, 2019

    CHELSEA YASHINDA UGENINI EUROPA LEAGUE, SARRI ASHUSHA PRESHA

    Ross Barkley na Olivier Giroud wakipongezana baada ya wote kuifungia Chelsea katika ushindi wa ugenini wa 2-1 dhidi ya Malmo kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora Europa League usiku wa jana Uwanja wa Swedbank mjini Malmo. Barkley alifunga dakika ya 30 na Giroud dakika ya 58 kabla ya Anders Christiansen kuifungia Malmo dakika ya 80, huku kocha Maurizio Sarri akishusha presha 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YASHINDA UGENINI EUROPA LEAGUE, SARRI ASHUSHA PRESHA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top