Ross Barkley na Olivier Giroud wakipongezana baada ya wote kuifungia Chelsea katika ushindi wa ugenini wa 2-1 dhidi ya Malmo kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora Europa League usiku wa jana Uwanja wa Swedbank mjini Malmo. Barkley alifunga dakika ya 30 na Giroud dakika ya 58 kabla ya Anders Christiansen kuifungia Malmo dakika ya 80, huku kocha Maurizio Sarri akishusha presha PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA star, 59, who won three titles with Michael Jordan and the Bulls died
after a 'fall at his home', report claims
-
A colleague of late NBA star Stacey King appears to have revealed the cause
of his sudden passing at the age of 59.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment