Ross Barkley na Olivier Giroud wakipongezana baada ya wote kuifungia Chelsea katika ushindi wa ugenini wa 2-1 dhidi ya Malmo kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora Europa League usiku wa jana Uwanja wa Swedbank mjini Malmo. Barkley alifunga dakika ya 30 na Giroud dakika ya 58 kabla ya Anders Christiansen kuifungia Malmo dakika ya 80, huku kocha Maurizio Sarri akishusha presha PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sauce Gardner sparks 'Drake Curse' fears among Jets fans after posting a
picture with the world-famous rapper, before telling supporters 'we good'
in follow-up post
-
Sauce Gardner has sparked fears among Jets fans that the team will fall
victim to the 'Drake Curse' after he posted a picture with the rapper.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment