Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City kwa penalti dakika ya 59 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya West Ham United usiku wa jana Uwanja wa Etihad na kwa matokeo hayo mabingwa hao watetezi wanafikisha pointi 68 katika mechi ya 28 wakiendelea kuzidiwa pointi moja na vinara Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup TV pundit wars: All the BBC and ITV's broadcast stars RANKED -
from Ange Postecoglou and Roy Keane to Wayne Rooney and Olivier Giroud -
but who comes out on top?
-
The BBC and ITV are in stiff competition over every aspect of World Cup
coverage - but there's only one winner when it comes to the television
pundits.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment