Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City kwa penalti dakika ya 59 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya West Ham United usiku wa jana Uwanja wa Etihad na kwa matokeo hayo mabingwa hao watetezi wanafikisha pointi 68 katika mechi ya 28 wakiendelea kuzidiwa pointi moja na vinara Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Vince McMahon Sells Final TKO Shares for $776M+ to End WWE Ties After 50+
Years
-
WWE co-founder Vince McMahon is ending his association with the promotion
after 55 years with the sale of his 8.02 million TKO Group Holdings shares,
which…
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment