Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City kwa penalti dakika ya 59 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya West Ham United usiku wa jana Uwanja wa Etihad na kwa matokeo hayo mabingwa hao watetezi wanafikisha pointi 68 katika mechi ya 28 wakiendelea kuzidiwa pointi moja na vinara Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
When is the Women's World Cup? FIFA releases 2027 schedule details
-
The 2027 Women's World Cup schedule is here with more details from FIFA.
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment