Mshambuliaji Mmisri, Mohamed Salah akiondoka kwenda kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu dakika ya 48 akimalizia pasi ya Mbrazil Roberto Firmino katika ushindi wa 3-0 dhidi ya AFC Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Mabao mengine yamefungwa na Sadio Mane dakika ya 24 na Georginio Wijnaldum dakika ya 34 na kwa ushindi huo, Liverpool inafikisha pointi 65 baada ya kucheza mechi 26, ikirejea kileleni sasa ikiizidi pointi tatu Manchester City ambayo kesho itamenyana na Chelsea Uwanja wa Etihad PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chiefs 'expect Rashee Rice to be suspended for at least half a season',
claims NFL insider with wide receiver facing eight charges after 119mph
Dallas car crash
-
Rice, 24, surrendered to police last month after he and another driver of a
speeding sports car allegedly caused a crash involving a half-dozen
vehicles on...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment