Paul Pogba akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Manchester United dakika ya 45 akimalizia pasi ya Marcus Rashford kufuatia kumsetia Ander Herrera kufunga bao la kwanza dakika ya 31 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Chelsea usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London kwenye mchezo wa Hatua ya 16 Bora Kombe la FA England na kwa matokeo hayo Mashetani Wekundu wanatinga Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Monza reveal home and away kits designed by Nike for 2026/27
-
Newly-promoted Monza took the unusual step of unveiling both the home and
away kits for the 2026/27 season together, both designed by Nike.The club
earned ...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment