Mshambuliaji wa Juventus, Cristiano Ronaldo (kulia) akitafuta namna ya kumpita kiungo wa Atletico Madrid, Saul katika wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid, Hispania. Atletico Madrid walishinda 2-0, mabao ya Jose Gimenez dakika ya 78 na Diego Godin dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Uefa Board calls for improvement in VAR consistency
-
The Uefa Football Board says VAR needs to become more "consistent,
transparent and understandable" for players, fans and coaches.
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment