Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford (kushoto) akiwatoka wachezaji wa Liverpool Sadio Mane na Virgil van Dijk katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester timu hizo zikitoak sare ya bila kufungana. Liverpool inafikisha pointi 66 katika mechi ya 27 ikiendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi moja tu sasa zaidi ya mabingwa watetezi, Manchester City, wakati United inafikisha pointi 52 baada ya kucheza mechi 27 ikishuka kwa nafasi moja hadi ya tano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lionel Messi shows off huge bump on his forehead after helping Argentina to
avoid one of World Cup's biggest upsets against Cape Verde
-
Messi was again on the scoresheet with a sublime goal as Argentina beat the
West African minnows 3-2 to reach the last 16 - but only after extra-time.
The ...
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment