Luis Suarez akiwa amezingirwa na wachezaji wenzake akiwemo, Lionel Messi wakimpongeza baada ya kufunga mabao mawili dakika za 50 na 73 kwa penalti katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Real Madrid lingine Raphael Varane akijifunga dakika ya 69 kwenye mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Kombe la Mfalme Hispania usiku wa jana Uwanja wa Bernabeu. Barcelona inatinga fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-1 baada ya sare ya 1-1 kwenye mchezo wa kwanza Uwanja wa Camp Nou Februari 6, mwaka huu na sasa itakutana na mshindi wa jumla kati ya Real Betis na Valencia zinazokutana usiku wa leo baada ya kutoa sare ya 2-2 kwenye mechi ya kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup TV pundit wars: All the BBC and ITV's broadcast stars RANKED -
from Ange Postecoglou and Roy Keane to Wayne Rooney and Olivier Giroud -
but who comes out on top?
-
The BBC and ITV are in stiff competition over every aspect of World Cup
coverage - but there's only one winner when it comes to the television
pundits.
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment