Luis Suarez akiwa amezingirwa na wachezaji wenzake akiwemo, Lionel Messi wakimpongeza baada ya kufunga mabao mawili dakika za 50 na 73 kwa penalti katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Real Madrid lingine Raphael Varane akijifunga dakika ya 69 kwenye mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Kombe la Mfalme Hispania usiku wa jana Uwanja wa Bernabeu. Barcelona inatinga fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-1 baada ya sare ya 1-1 kwenye mchezo wa kwanza Uwanja wa Camp Nou Februari 6, mwaka huu na sasa itakutana na mshindi wa jumla kati ya Real Betis na Valencia zinazokutana usiku wa leo baada ya kutoa sare ya 2-2 kwenye mechi ya kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea takeover 'on verge of being approved' after legal resolution found
-
The developments comes just 24 hours after the takeover had been plunged
into fresh doubt over the oligarch's alleged 'refusal to agree' to a
proposed sale...
Dakika 14 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni