Luis Suarez akiwa amezingirwa na wachezaji wenzake akiwemo, Lionel Messi wakimpongeza baada ya kufunga mabao mawili dakika za 50 na 73 kwa penalti katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Real Madrid lingine Raphael Varane akijifunga dakika ya 69 kwenye mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Kombe la Mfalme Hispania usiku wa jana Uwanja wa Bernabeu. Barcelona inatinga fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-1 baada ya sare ya 1-1 kwenye mchezo wa kwanza Uwanja wa Camp Nou Februari 6, mwaka huu na sasa itakutana na mshindi wa jumla kati ya Real Betis na Valencia zinazokutana usiku wa leo baada ya kutoa sare ya 2-2 kwenye mechi ya kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Complete 2024 NBA Playoff Bracket Predictions and Key Player Matchups
-
With the 2023-24 NBA regular season and play-in tournament complete, the
real fireworks can begin. The 2024 playoffs offer a collection of both
young teams…
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment