Mshambuliaji Romelu Lukaku akifurahia baada ya kuifungia Manchester United mabao mawili dakika ya 33 na 52 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Selhurst Park. Bao lingine lilifungwa na Ashley Young dakika ya 83 huku la Palace likifungwa na Joel Ward dakika ya 66 na kwa ushindi huo, Man United inafikisha pointi 55 ikiendelea kushika nafasi ya tano kwenye Ligi Kuu nyuma ya Arsenal yenye pointi 56 baada ya wote kucheza mechi 28 na mbele ya Chelsea yenye pointi 53 za mechi 25 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid make first move in pursuit of Chelsea midfielder Enzo Fernandez
- who is valued at £120m
-
Real have long been linked on the assumption that they would be one of the
few clubs in world football who could afford the 25-year-old Argentinian
World C...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment