Mshambuliaji Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya 90 ikiilaza 3-2 Schalke 04 3-2 katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa VELTINS-Arena mjini Gelsenkirchen nchini Ujerumani. Mabao mengine ya Man City yalifungwa na Sergio Aguero dakika ya 18 na Leroy Sane dakika ya 85, wakati ya Schalke 04 yalifungwa na Nabil Bentaleb yote kwa penalti dakika za 38 na 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FG partners WHO, CSOs to end unsafe food cases in Nigeria
-
The federal government has partnered with WHO and CSOs to implement a
comprehensive strategy to eradicate cases of unsafe food in Nigeria.
The post FG pa...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment