Mshambuliaji Mnyarwanda wa Simba SC, Meddie Kagere akimtoka beki Mghana wa Simba SC, Yakubu Mohammed katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba SC ilishinda 3-1
Mshambuliaji wa Simba SC, Emmanuel Okwi akimtoka beki Mganda mwenzake, wa Azam FC, Nico Wadada
Beki Mburkinabe wa Simba SC, Zana Coulibaly (kushoto) akitafuta namna ya kumpita beki Mzimbabwe wa Azam FC, Bruce Kangwa
Kiungo Mzambia wa Azam FC, Clatous Chama (kushoto) akimlamba chenga beki Mghana wa Azam FC, Yakubu Mohammed
Kikosi cha Azam FC kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Simba SC
Kikosi cha Simba SC kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Azam FC
NBA star, 59, who won three titles with Michael Jordan and the Bulls died
after a 'fall at his home', report claims
-
A colleague of late NBA star Stacey King appears to have revealed the cause
of his sudden passing at the age of 59.
6 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment