Mshambuliaji Mnyarwanda wa Simba SC, Meddie Kagere akimtoka beki Mghana wa Simba SC, Yakubu Mohammed katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba SC ilishinda 3-1
Mshambuliaji wa Simba SC, Emmanuel Okwi akimtoka beki Mganda mwenzake, wa Azam FC, Nico Wadada
Beki Mburkinabe wa Simba SC, Zana Coulibaly (kushoto) akitafuta namna ya kumpita beki Mzimbabwe wa Azam FC, Bruce Kangwa
Kiungo Mzambia wa Azam FC, Clatous Chama (kushoto) akimlamba chenga beki Mghana wa Azam FC, Yakubu Mohammed
Kikosi cha Azam FC kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Simba SC
Kikosi cha Simba SC kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Azam FC
Footballer left bloodied and needing stitches after being hit by an object
thrown by his OWN fans during pitch invasion
-
The 24-year-old was knocked to the ground after being hit and left
bloodied, before he later required stitches in what was an extremely
unsavoury incident.
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment