Mshambuliaji Mnyarwanda wa Simba SC, Meddie Kagere akimtoka beki Mghana wa Simba SC, Yakubu Mohammed katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba SC ilishinda 3-1
Mshambuliaji wa Simba SC, Emmanuel Okwi akimtoka beki Mganda mwenzake, wa Azam FC, Nico Wadada
Beki Mburkinabe wa Simba SC, Zana Coulibaly (kushoto) akitafuta namna ya kumpita beki Mzimbabwe wa Azam FC, Bruce Kangwa
Kiungo Mzambia wa Azam FC, Clatous Chama (kushoto) akimlamba chenga beki Mghana wa Azam FC, Yakubu Mohammed
Kikosi cha Azam FC kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Simba SC
Kikosi cha Simba SC kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Azam FC
Children to be banned from using phones in schools in England by law
-
The British government said it will pass legislation to bar smartphones
from schools in England amid a broader battle over whether to ban social
media.
3 hours ago


.png)
0 comments:
Post a Comment