Mshambuliaji Mnyarwanda wa Simba SC, Meddie Kagere akimtoka beki Mghana wa Simba SC, Yakubu Mohammed katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba SC ilishinda 3-1
Mshambuliaji wa Simba SC, Emmanuel Okwi akimtoka beki Mganda mwenzake, wa Azam FC, Nico Wadada
Beki Mburkinabe wa Simba SC, Zana Coulibaly (kushoto) akitafuta namna ya kumpita beki Mzimbabwe wa Azam FC, Bruce Kangwa
Kiungo Mzambia wa Azam FC, Clatous Chama (kushoto) akimlamba chenga beki Mghana wa Azam FC, Yakubu Mohammed
Kikosi cha Azam FC kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Simba SC
Kikosi cha Simba SC kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Azam FC
Irish pub turns their flags upside down to become the UK's first IVORY
COAST boozer for the World Cup - stocking African Guinness and Ivorian food
after 'a joke went too far'
-
The Republic of Ireland failed to qualify for this summer's showpiece in
the USA, Canada, and Mexico after losing to the Czech Republic in the
play-offs on...
2 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment