Mshambuliaji Mkorea, Son Heung-min akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la kwanza dakika ya 47 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Borussia Dortmund kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Wembley mjini London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Jan Vertonghen dakika ya 83 na Fernando Llorente dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Asante Kotoko writes to Ghana FA to postpone GPL matches until Ashantigold SC match is honoredÂ
-
Asante Kotoko SC has written to the Ghana Football Association to postpone
all Premier League matches until its outstanding game between Ashantigold
SC is ...
Dakika 33 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni