Mshambuliaji Mkorea, Son Heung-min akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la kwanza dakika ya 47 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Borussia Dortmund kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Wembley mjini London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Jan Vertonghen dakika ya 83 na Fernando Llorente dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle & Nottingham Forest join hunt for Rayo Vallecano star
-
A pair of Premier League clubs have set their sights on the signature of a
leading member of the defensive ranks at Spanish outfit Rayo Vallecano.This
come...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment