Mshambuliaji Mkorea, Son Heung-min akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la kwanza dakika ya 47 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Borussia Dortmund kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Wembley mjini London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Jan Vertonghen dakika ya 83 na Fernando Llorente dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Red Bull mastermind is 'set to leave' after Christian Horner sexting
scandal engulfed the team - and 'could join Lewis Hamilton at Ferrari next
season'
-
A Red Bull supremo is reportedly set to leave the team and will announce
his decision soon. He has has informed Red Bull that he wants to move on.
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment