Sokratis Papastathopoulos akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la tatu dakika ya 60 ikiilaza BATE Borisov 3-0 Uwanja wa Emirates mjini London usiku wa jana katika mchezo wa hatua ya 32 Bora UEFA Europa League. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Zakhar Volkov aliyejifunga dakika ya nne na Shkodran Mustafi dakika ya 39 na kwa matokeo hayo, Arsenal inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-1 kufuatia kufungwa 1-0 kwenye mchezo wa kwanza nchini Belarus PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lionel Messi shows off huge bump on his forehead after helping Argentina to
avoid one of World Cup's biggest upsets against Cape Verde
-
Messi was again on the scoresheet with a sublime goal as Argentina beat the
West African minnows 3-2 to reach the last 16 - but only after extra-time.
The ...
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment