Lionel Messi akisikitika baada ya Barcelona kulazimishwa sare ya 0-0 na wenyeji, Athletic Bilbao usiku wa jana Uwanja wa San Mames Barria mjini Bilbao kwenye mchezo wa La Liga. Pamoja na sare hiyo, Barcelona inafikisha pointi 51 katika mechi ya 23 na kuendelea kuongoza La Liga kwa pointi sita zaidi ya Real Madrid wanaofuatia katika nafasi ya pili mbele ya Atletico Madrid wenye pointi 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lakers' LeBron James on Game 4 Win vs. Nuggets: 'We've Given Ourselves
Another Life'
-
LeBron James says the Los Angeles Lakers were granted "another life" by
winning Game 4 against the Denver Nuggets Saturday night. James scored 30
points to…
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment