Kiungo Mnigeria, Alex Iwobi akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya 16 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Huddersfield Town kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa John Smith mjini Huddersfield, West Yorkshire. Bao la pili limefungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 44 kabla ya Sead Kolasinac kujifunga dakika ya 90 na ushei kuipa Huddersfield Town bao la kufutia machozi na kwa ushindi huo Arsenal inafikisha pointi 50, sawa na Chelsea baada ya kucheza mechi 26, ingawa inaendelea kushika nafasi ya sita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Advantage Man City? 'Queen bee' Guardiola leads them to summit
-
It took just five minutes for chants of "we are top of the league" to ring
out around Turf Moor, as the title pendulum continues to shift towards
Mancheste...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment