Kiungo Mnigeria, Alex Iwobi akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya 16 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Huddersfield Town kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa John Smith mjini Huddersfield, West Yorkshire. Bao la pili limefungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 44 kabla ya Sead Kolasinac kujifunga dakika ya 90 na ushei kuipa Huddersfield Town bao la kufutia machozi na kwa ushindi huo Arsenal inafikisha pointi 50, sawa na Chelsea baada ya kucheza mechi 26, ingawa inaendelea kushika nafasi ya sita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid make first move in pursuit of Chelsea midfielder Enzo Fernandez
- who is valued at £120m
-
Real have long been linked on the assumption that they would be one of the
few clubs in world football who could afford the 25-year-old Argentinian
World C...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment