Kiungo Mnigeria, Alex Iwobi akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya 16 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Huddersfield Town kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa John Smith mjini Huddersfield, West Yorkshire. Bao la pili limefungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 44 kabla ya Sead Kolasinac kujifunga dakika ya 90 na ushei kuipa Huddersfield Town bao la kufutia machozi na kwa ushindi huo Arsenal inafikisha pointi 50, sawa na Chelsea baada ya kucheza mechi 26, ingawa inaendelea kushika nafasi ya sita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Adam Ramsay-Peaty kisses pregnant wife Holly's baby bump as he misses out
on gold and finishes in third place in the 100m breaststroke final at the
Commonwealth Games
-
Adam Ramsay-Peaty kissed pregnant wife Holly as he missed out on his 33rd
major gold medal as he finished in third place in the 100m breaststroke
final at ...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment