Wachezaji wa Manchester City wakifurahia na taji lao la Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup baada ya ushindi wa penalti 4-3 kufuatia sare ya 0-0 ndani ya dakika ya 120 katika fainali nzuri iliyofanyika Uwanja wa Wembley usiku wa jana. Waliofunga penalti za Manchester City ni İlkay Gundogan, Sergio Aguero, Bernardo Silva na Raheem Sterling, wakati Leroy Sane pekee alikosa huku za Chelsea zikifungwa na Azpilicueta, Emerson na Edin Hazard huku Jorginho na David Luiz wakikosa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lionel Messi shows off huge bump on his forehead after helping Argentina to
avoid one of World Cup's biggest upsets against Cape Verde
-
Messi was again on the scoresheet with a sublime goal as Argentina beat the
West African minnows 3-2 to reach the last 16 - but only after extra-time.
The ...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment