Wachezaji wa Manchester City wakifurahia na taji lao la Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup baada ya ushindi wa penalti 4-3 kufuatia sare ya 0-0 ndani ya dakika ya 120 katika fainali nzuri iliyofanyika Uwanja wa Wembley usiku wa jana. Waliofunga penalti za Manchester City ni İlkay Gundogan, Sergio Aguero, Bernardo Silva na Raheem Sterling, wakati Leroy Sane pekee alikosa huku za Chelsea zikifungwa na Azpilicueta, Emerson na Edin Hazard huku Jorginho na David Luiz wakikosa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
All Blacks beat France in thrilling Nations Championship opener
-
Will Jordan scores twice to help New Zealand beat France as the inaugural
Nations Championship opens with a captivating, nine-try thriller in
Christchurch.
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment