Kipa Mreno wa Lyon, Anthony Lopes akizuia shuti la mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya timu hizo zikitoka sare ya bila kufungana, 0-0 usiku wa jana Uwanja wa Groupama mjini Decines-Charpieu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Children to be banned from using phones in schools in England by law
-
The British government said it will pass legislation to bar smartphones
from schools in England amid a broader battle over whether to ban social
media.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment