Cesc Fabregas na wachezaji wenzake wa Chelsea wakiwa hoi baada ya kufungwa bao la tatu, wakichapwa 3-0 na AFC Bournemouth katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao ya Bournemouth yamefungwa na Callum Wilson dakika ya 51, Junior Stanislas dakika ya 64 na Nathan Ake dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NCAA set to launch Nigeria’s first State safety programme to enhance
Aviation safety
-
From Sola Ojo, Abuja Nigeria’s aviation industry State Safety Programme
(SSP) document will soon be published as the Nigeria Civil Aviation
Authority (NC...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment