Cesc Fabregas na wachezaji wenzake wa Chelsea wakiwa hoi baada ya kufungwa bao la tatu, wakichapwa 3-0 na AFC Bournemouth katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao ya Bournemouth yamefungwa na Callum Wilson dakika ya 51, Junior Stanislas dakika ya 64 na Nathan Ake dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sudden drone crash halts LIV Golf event in Hong Kong as distracted Sergio
Garcia tries to line up putt
-
LIV Golf's use of drones has occasionally annoyed players and disrupted
live action. The worst example of this came on Thursday in the third event
of the s...
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment