Cesc Fabregas na wachezaji wenzake wa Chelsea wakiwa hoi baada ya kufungwa bao la tatu, wakichapwa 3-0 na AFC Bournemouth katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao ya Bournemouth yamefungwa na Callum Wilson dakika ya 51, Junior Stanislas dakika ya 64 na Nathan Ake dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cops take action over controversial footy commentator Paul Kent's wild
street fight outside a pub
-
The Fox Sports commentator has been suspended from that role and his job
with the Daily Telegraph while his employers investigate the alleged
incident outs...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment