Beki wa Real Madrid, Sergio Ramos akienda hewani kuifungia timu yake bao la ushindi dakika ya 90 na ushei ikiilaza 3-2 Deportivo la Coruna usiku wa jana Uwanja wa Bernabeu katika mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Alvaro Morato dakika ya 50 na Mariano Diaz dakika ya 84, wakati ya wageni yalifungwa na Jose Luis 'Joselu' yote dakika za 63 na 65 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
76ers' Nick Nurse Talks Close Games in Knicks Series: 'I've Decided Nothing
Matters'
-
Philadelphia 76ers head coach Nick Nurse joked with reporters about the
team's close first-round playoff series against the New York Knicks on
Thursday. "I…
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment