Beki wa Real Madrid, Sergio Ramos akienda hewani kuifungia timu yake bao la ushindi dakika ya 90 na ushei ikiilaza 3-2 Deportivo la Coruna usiku wa jana Uwanja wa Bernabeu katika mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Alvaro Morato dakika ya 50 na Mariano Diaz dakika ya 84, wakati ya wageni yalifungwa na Jose Luis 'Joselu' yote dakika za 63 na 65 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
TAKING THE MIC: With a dad like Open Goal's Si Ferry, it's little wonder
Frankie Ferry likes to talk... but despite his tender years, this budding
commentator isn't afraid to tell it like it is
-
Thirteen-year-old Frankie Ferry is in a cafe in the East End of Glasgow,
sitting across the table from his dad and podcast pioneer Si who he's
followed int...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment