Mchezaji aliyetokea benchi kipindi cha pili, Timothy Fosu-Mensah akiwa amemdandia mfungaji wa bao lao la pili dakika ya 88, Zlatan Ibrahimovic katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Kundi A Europa League usiku huu Uwanja wa Chornomorets Odesa. Bao lingine la Man United ya kocha Mreno Jose Mourinho lilifungwa na Henrikh Mkhitaryan dakika ya 48 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stocks may start to discount the possibility that the war won’t be short,
Yardeni
-
Investing.com -- Stocks declined as oil prices returned to around $100 a
barrel, with Yardeni Research warning in a note on Friday that markets may
be star...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment