Mchezaji aliyetokea benchi kipindi cha pili, Timothy Fosu-Mensah akiwa amemdandia mfungaji wa bao lao la pili dakika ya 88, Zlatan Ibrahimovic katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Kundi A Europa League usiku huu Uwanja wa Chornomorets Odesa. Bao lingine la Man United ya kocha Mreno Jose Mourinho lilifungwa na Henrikh Mkhitaryan dakika ya 48 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup 2026: Cristiano Ronaldo becomes first man to score a goal in six
World Cups
-
Cristiano Ronaldo is still setting records at 41.
5 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment