• HABARI MPYA

    Friday, December 09, 2016

    MAN UNITED YAIFUMUA 2-0 ZORYA LUHANSK

    Mchezaji aliyetokea benchi kipindi cha pili, Timothy Fosu-Mensah akiwa amemdandia mfungaji wa bao lao la pili dakika ya 88, Zlatan Ibrahimovic katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Kundi A Europa League usiku huu Uwanja wa Chornomorets Odesa. Bao lingine la Man United ya kocha Mreno Jose Mourinho lilifungwa na Henrikh Mkhitaryan dakika ya 48 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN UNITED YAIFUMUA 2-0 ZORYA LUHANSK Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top