Mchezaji aliyetokea benchi kipindi cha pili, Timothy Fosu-Mensah akiwa amemdandia mfungaji wa bao lao la pili dakika ya 88, Zlatan Ibrahimovic katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Kundi A Europa League usiku huu Uwanja wa Chornomorets Odesa. Bao lingine la Man United ya kocha Mreno Jose Mourinho lilifungwa na Henrikh Mkhitaryan dakika ya 48 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Human rights: Our everyday essentials (1)
-
INTRODUCTION Human rights are the basic freedoms and protections that
belong to every person by virtue of their humanity. They are not favours to
be gran...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment