Mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy akimpiga chenga kipa wa Manchester City, Claudio Bravo kukamilisha hat trick yake katika ushindi wa 4-2 usiku wa jana Uwanja wa King Power kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Vardy alifunga mabao yake dakika za tatu, 20 na 78, wakati bao lingine la Leicester lilifungwa na Andy King dakika ya tano, huku ya Man City yakifungwa na Aleksandar Kolarov dakika ya 82 na Nolito dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Miami police crack down on rowdy Scotland World Cup fans and their boozy
antics as thousands arrive in Florida before Brazil showdown
-
The Tartan Army made Boston their base for the opening two group games
against Haiti and Morocco, winning widespread praise for their good humor -
but it a...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment