Wachezaji wa Yanga, Simon Msuva (kulia) na Juma Abdul (kushoto) wakiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Alfajiri ya leo kwa ajili ya safari ya Angola kwenda kucheza na Sagrada Esperanca ya huko kwenye mchezo wa marudiano wa mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika keshokutwa
Simon Msuva (kulia) na mshambuliaji Matheo Anthony (kushoto) ambao kila mmoja alifunga bao moja katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa kwanza Dar es Salaam
Kutoka kushoto wakiwa ndani ya ndege ni Juma Abdul, Haruna Niyonzima na Kevin Yondan
Wakiwa ndani ya ndege ni Thabani Kamusoko (kulia) na Deus Kaseke (kushoto)
Mshambuliaji Donald Ngoma ambaye pamoja na Kamusoko walikosa mechi ya kwanza kwa sababu ya adhabu za kazi
0 comments:
Post a Comment