Wachezaji wa Yanga, Simon Msuva (kulia) na Juma Abdul (kushoto) wakiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Alfajiri ya leo kwa ajili ya safari ya Angola kwenda kucheza na Sagrada Esperanca ya huko kwenye mchezo wa marudiano wa mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika keshokutwa
Simon Msuva (kulia) na mshambuliaji Matheo Anthony (kushoto) ambao kila mmoja alifunga bao moja katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa kwanza Dar es Salaam
Kutoka kushoto wakiwa ndani ya ndege ni Juma Abdul, Haruna Niyonzima na Kevin Yondan
Wakiwa ndani ya ndege ni Thabani Kamusoko (kulia) na Deus Kaseke (kushoto)
Mshambuliaji Donald Ngoma ambaye pamoja na Kamusoko walikosa mechi ya kwanza kwa sababu ya adhabu za kazi
Faninfos für das Spiel der U23 bei 1860 München
-
Am Samstag um 14 Uhr trifft die U23 des BVB auf den TSV 1860 München. Rund
500 BVB-Fans werden den BVB im Stadion an der Grünwalder Straße
unterstützen. Wi...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment