AZAM FC NA AFRICAN SPORTS KATIKA PICHA JANA MKWAKWANI
Winga wa Azam FC, Ramadhani Singano 'Messi' akimtoka beki wa African Sports katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara njana Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Azam FC ilishinda 2-1
Kiungo wa Azam FC, Himid Mao akimtoka mchezaji wa African Sports jana Mkwakwani
Kiungo wa Azam FC, Khamis Mcha 'Vialli' akimtoka mchezaji wa African Sports
Mshambuliaji wa Azam FC, Allan Wanga akimtoka beki wa African Sports jana
Makocha wapya wa Azam FC kutoka Hispania, Jonas Garcia Luis (wa pili kushoto) na Zebensul Hernandez Rodrguez (wa pili kulia) wakiwa na Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, Saad Kawemba (kulia) na Katibu Mkuu, Nassor Idrissa (kushoto) jana Uwanja wa Mkwakwani
Makocha wanaomalizia muda wao, Muingereza Stewart John Hall (kulia) na Wasaidizi wake
Faninfos für das Spiel der U23 bei 1860 München
-
Am Samstag um 14 Uhr trifft die U23 des BVB auf den TSV 1860 München. Rund
500 BVB-Fans werden den BVB im Stadion an der Grünwalder Straße
unterstützen. Wi...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment