Mshambuliaji Arouna Kone akiifungia Everton moja ya mabao yake matatu jana katika ushindi wa 6-2 dhidi ya Sunderland Uwanja wa Goodison Park, mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Everton yalifungwa na Deulofeu, Coates la kujifunga na Lukaku, wakati ya Sunderland yalifungwa na Defoe na Fletcher PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Frank Nazar scores OT power-play goal as Blackhawks beat Utah Mammoth 3-2
-
Frank Nazar scored a power-play goal with 2:24 left in overtime to give the
Chicago Blackhawks a 3-2 victory over the Utah Mammoth on Monday night.
Drew Co...
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment