Mshambuliaji Arouna Kone akiifungia Everton moja ya mabao yake matatu jana katika ushindi wa 6-2 dhidi ya Sunderland Uwanja wa Goodison Park, mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Everton yalifungwa na Deulofeu, Coates la kujifunga na Lukaku, wakati ya Sunderland yalifungwa na Defoe na Fletcher PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2027: Why Osun people shouldn’t feel betrayed by Adeleke’s endorsement of
Tinubu — Aide
-
The Osun State Governor, Ademola Adeleke, did not endorse President Bola
Tinubu’s 2027 re-election bid because he won the recent governorship
election, h...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment