Pichani Ndanda akiwa amelazwa hospitali na picha ndogo ni matapishi ya damu |
Kwa mujibu wa Saluti5.com Ndanda aliyetesa na bendi ya FM Academia na Stono Musica, amelazwa katika hospitali ya PKA iliyoko Tegeta jijini Dar es Salaam.
Msanii huyo mcheshi ameimbia Saluti5 kwa njia ya simu kuwa amelazwa hapo tangu jana (Jumatano) ambapo tatizo kubwa ni kupasuka kwa mmoja ya mishipa tumboni. Ndanda amesema amekuwa akitapika damu, lakini madaktari wanajitahidi kudhibiti tatizo.
0 comments:
Post a Comment