// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); YAYA TOURE AWAPA RAHA MATAJIRI WA MAN CITY - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE YAYA TOURE AWAPA RAHA MATAJIRI WA MAN CITY - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, December 06, 2014

    YAYA TOURE AWAPA RAHA MATAJIRI WA MAN CITY

    BAO pekee la Mwanasoka Bora wa Afrika, Yaya Toure limeipa Manchester City wa 1-0 dhidi ya Everton katika mchezo mkali wa Ligi Kuu ya England, usiku wa leo Uwanja wa Etihad.
    Nahodha huyo wa Ivory Coast alifunga bao hilo kwa penalti dakika ya 24 na sasa Man City wanapunguza pengo la pointi hadi kubaki tatu dhidi ya vinara wa ligi, Chelsea ambao mapema leo wamefungwa 2-1 na Newcastle.
    Mabingwa hao wa England walipata pigo dakika ya tisa tu baada ya mshambuliaji wao tegemeo Sergio Aguero kutoka nje kwa kuumia goti.
    Kikosi cha Man City kilikuwa: Hart, Zabaleta, Demichelis, Mangala, Clichy, Jesus Navas/Lampard dk78, Fernando, Toure, Milner, Nasri, Aguero/Pozo dk7, Pozo/Dzeko dk63.
    Everton: Howard, Hibbert, Jagielka, Distin, Baines, Besic/Barkley dk56, Barry, Coleman, Eto'o, Mirallas/Osman dk88 na Lukaku.
    Manchester City's Yaya Toure gives his side the lead from the penalty spot as the champions go 1-0 up 
    Yaya Toure akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao pekee katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Everton 

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2863641/Manchester-City-1-0-Everton-Yaya-Toure-scores-winner-champions-title-race.html#ixzz3L9ObnGmU 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YAYA TOURE AWAPA RAHA MATAJIRI WA MAN CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top