Wachezaji wa Simba wakiwa Uwanja wa Amaan, Zanzibar katika mazoezi yao ya leo kujiandaa na mchezo wao wa Nani Mtani Jembe unaotarajiwa kjufanyika Jumamosi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Hapa wanamsikiliza kocha wao, Mzamvia Patrick Phiri mwenye jaketi jekundu
Kocha Phiri akitoa maelekezo kwa wachezaji wake
Kocha Phiri akizungumza na mshambuliaji mpya, Simon Sserunkuma kulia. katikati ni Kocha Msaidizi, Suleiman MatolaWachezaji wa Simba wafanya mazoezi mepesi Uwanja wa Amaan leo. Picha na www.zanzinews.com
0 comments:
Post a Comment