// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SIMBA SC MAZOEZINI UWANJA WA AMAAN ZANZIBAR LEO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SIMBA SC MAZOEZINI UWANJA WA AMAAN ZANZIBAR LEO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Thursday, December 11, 2014

    SIMBA SC MAZOEZINI UWANJA WA AMAAN ZANZIBAR LEO

    Wachezaji wa Simba wakiwa Uwanja wa Amaan, Zanzibar katika mazoezi yao ya leo kujiandaa na mchezo wao wa Nani Mtani Jembe unaotarajiwa kjufanyika Jumamosi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Hapa wanamsikiliza kocha wao, Mzamvia Patrick Phiri mwenye jaketi jekundu
    Kocha Phiri akitoa maelekezo kwa wachezaji wake 
    Kocha Phiri akizungumza na mshambuliaji mpya, Simon Sserunkuma kulia. katikati ni Kocha Msaidizi, Suleiman Matola
    Wachezaji wa Simba wafanya mazoezi mepesi Uwanja wa Amaan leo. Picha na www.zanzinews.com 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC MAZOEZINI UWANJA WA AMAAN ZANZIBAR LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top