// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); DOMAYO NA KIMWAGA WAANZA MAZOEZI KIKAMILIFU AZAM FC - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE DOMAYO NA KIMWAGA WAANZA MAZOEZI KIKAMILIFU AZAM FC - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Wednesday, December 03, 2014

    DOMAYO NA KIMWAGA WAANZA MAZOEZI KIKAMILIFU AZAM FC

    Viungo wa Azam FC waliokuwa majeruhi kwa muda mrefu, Frank Domayo (kushoto) na Joseph Kimwaga kulia wakiwa mazoezi na wenao leo asubuhi Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam baada ya kurejea kutoka Afrika Kusini kufanyiwa uchunguzi wa maumivu yao, ambako imethibitishwa wamepona kabisa na wanaweza kuendelea na kazi.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DOMAYO NA KIMWAGA WAANZA MAZOEZI KIKAMILIFU AZAM FC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top