// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); DIAMOND ATUA MAREKANI KUTUMBUIZA SHEREHE ZA UHURU WA TANZANIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE DIAMOND ATUA MAREKANI KUTUMBUIZA SHEREHE ZA UHURU WA TANZANIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Sunday, December 07, 2014

    DIAMOND ATUA MAREKANI KUTUMBUIZA SHEREHE ZA UHURU WA TANZANIA


     Mwanamuziki wa Tanzania, Nassib Abdul, 'Diamond Platnumz' akiwasili Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dulles tayari kwa makamuzi ya sharehe ya Uhuru itayofanyika muda si mrefu Sheraton, ya Downtown Silver Spring, Maryland, Marekani.
     Diamond akipunga mkono kusalimiana na mwenyeji wake hayupo pichani mara tu baada ya kuwasili Dulles.
     Kutoka (kushoto) ni Dj Romy Jones, Diamond na mmoja wa waratibu wa sherehe ya Uhuru, Phanuel Ligate.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DIAMOND ATUA MAREKANI KUTUMBUIZA SHEREHE ZA UHURU WA TANZANIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top