DROGBA AUMIA BAADA YA DAKIKA 28 TU UWANJANI NA KUMPISHA OSCAR
Maumivu: Mshambuliaji wa Didier Drogba akiugulia maumivu baada ya kuumizwa katika mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Groupama Arena, dhidi ya Ferencavaros nchini Hungary. Chelsea ilishinda 2-1.
Drogba akipatiwa matibabu ya kifundo cha mguu uwanjani mjini Budapest
Aliahindwa kuendelea na nafasi yake ikachukuliwa na Oscar
Mkongwe huyo mwenye umri wa miaka 36 alicheza kwa dakika 28 tu kabla ya kuumia na kwenda benchi
0 comments:
Post a Comment