• HABARI MPYA

    Monday, August 11, 2014

    DROGBA AUMIA BAADA YA DAKIKA 28 TU UWANJANI NA KUMPISHA OSCAR


    Maumivu: Mshambuliaji wa Didier Drogba akiugulia maumivu baada ya kuumizwa katika mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Groupama Arena, dhidi ya Ferencavaros nchini Hungary. Chelsea ilishinda 2-1.
    Treatment: Drogba bites his hand as the Chelsea medical team look at his injured ankle in Budapest
    Drogba akipatiwa matibabu ya kifundo cha mguu uwanjani mjini Budapest
    Can't continue: The veteran forward tried to carry on but eventually had to be replaced by Brazil attacker Oscar
    Aliahindwa kuendelea na nafasi yake ikachukuliwa na Oscar
    Not happy: The 36-year-old did not look happy as he limped down the tunnel after making way in 28th minute
    Mkongwe huyo mwenye umri wa miaka 36 alicheza kwa dakika 28 tu kabla ya kuumia na kwenda benchi
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DROGBA AUMIA BAADA YA DAKIKA 28 TU UWANJANI NA KUMPISHA OSCAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top