• HABARI MPYA

    Saturday, November 18, 2017

    SALAH AFUNGA MAWILI LIVERPOOL YAIPIGA 3-0 SOUTHAMPTON

    Winga Mohamed Salah akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 31 na 41 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Bao lingine la Wekundu hao limefungwa na Philippe Coutinho dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SALAH AFUNGA MAWILI LIVERPOOL YAIPIGA 3-0 SOUTHAMPTON Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top