// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); AZAM FC KUCHEZA NA BANDARI YA KENYA JUMAMOSI CHAMAZI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE AZAM FC KUCHEZA NA BANDARI YA KENYA JUMAMOSI CHAMAZI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Tuesday, August 01, 2023

    AZAM FC KUCHEZA NA BANDARI YA KENYA JUMAMOSI CHAMAZI


    KIKOSI cha Azam FC kinatarajiwa kushuka dimbani Jumamosi kumenyana na Bandari ya Kenya katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Azam Complex, Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
    Azam FC inaendelea na mazoezi ya mwisho mwisho kuelekea michuano ya Ngao ya Jamii Jijini Tanga wiki ijayo baada ya kurejea Dar es Salaam mwishoni mwa wiki kutoka Tunisia ambako iliweka kambi ya wiki tatu kujiandaa na msimu mpya.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC KUCHEZA NA BANDARI YA KENYA JUMAMOSI CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top