BAO pekee la Philip Billing dakika ya jana liliwapa wenyeji, AFC Bournemouth ushindi wa 1-0 dhidi ya Liverpool katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Vitality, Bournemouth, Dorset. Ushindi huo unaifanya AFC Bournemouth ifikishe pointi 24 na kusogea nafasi ya 17, wakati Liverpool inabaki na pointi zake 42 nafasi ya tano baada ya wote kucheza mechi 26. Katika mchezo huo, mshambuliaji Mohamed Salah alikosa penalti dakika ya 69 ambayo ilitolewa kwa msaada wa VAR baada ya mpira wa kichwa wa Diogo Jota kumgonga mkononi Adam Smith.
Djokovic wins first match with coach Murray in box
-
Novak Djokovic comes from a set down to win his opening-round Australian
Open match, his first victory with three-time Grand Slam champion Andy
Murray in h...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment