// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
COASTAL UNION YALAZIMISHWA SARE 1-1 NA SINGIDA STARS - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINECOASTAL UNION YALAZIMISHWA SARE 1-1 NA SINGIDA STARS - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
COASTAL UNION YALAZIMISHWA SARE 1-1 NA SINGIDA STARS
WENYEJI, Coastal Union wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Singida Big Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga. Coastal Union walitangulia kwa bao la Greyson Gerlad dakika ya 44, kabla ya Singida Big Stars kusawazisha kupitia kwa Bright Adjei dakika ya 74. Kwa matokeo hayo, Coastal Union inafikisha pointi 26, ingawa inabaki nafasi ya 12, wakati Singida Big Stars inafikisha pointi 48 na kusogea nafasi ya tatu baada ya wote kucheza mechi 25.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment