• HABARI MPYA

    Friday, March 10, 2023

    OPA CLEMENT AANZA KAZI KLABU MPYA UTURUKI

     

    KLABU ya Besiktas ya Uturuki imemtambulisha mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania, Opa Clement kuwa mchezaji wake mpya kutoka Simba Queens ya nyumbani, Dar wa Salaam na amekwishajiunga nayo na kuanza mazoezi tayari kuonyesha cheche zake kwenye Ligi ya Wanawake Uturuki.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: OPA CLEMENT AANZA KAZI KLABU MPYA UTURUKI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top