DAVID UDO; MIDO MNIGERIA ANAYEWANIA KUSAJILIWA SIMBA SC
KIUNGO Mnigeria, David Udoh jana aliichezea Simba SC katika mchezo wa Kundi B Kombe la Mapinduzi ikitoa sare ya bila kufungana na wenyeji, Mlandege SC Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Udoh kwa pamoja na winga Muivory Coast, Cheick Ahmed Tenena Moukoro na kiungo mwingine, Msudan Sharaf Eldin Shiboub wapo Simba kwa majaribio kupitia michuano hii ya Mapinduzi na atakayemvutia kocha Mspaniola, Pablo Franco Martin atasajiliwa.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment