// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SIMBA YAANZA VYEMA MAPINDUZI, YASHINDA 2-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SIMBA YAANZA VYEMA MAPINDUZI, YASHINDA 2-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Wednesday, January 05, 2022

    SIMBA YAANZA VYEMA MAPINDUZI, YASHINDA 2-0


    MABINGWA wa Tanzania Bara, Simba SC wameanza vyema michuano ya Kombe la Mapinduzi baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Selem View katika mchezo wa Kundi C jioni ya leo Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
    Mabao ya Simba yamefungwa na winga Msenegal, Pape Ousmane Sakho dakika ya 25 na kiungo Mzambia, Rally Bwalya dakika ya 53.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA YAANZA VYEMA MAPINDUZI, YASHINDA 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top