• HABARI MPYA

    Tuesday, January 04, 2022

    MABINGWA WATUA ZENJI KUTETEA KOMBE LA MAPINDUZI


    MABINGWA watetezi, Yanga SC wamewasili leo visiwani Zanzibar kuelekea mchezo wao wa ufunguzi wa Kundi B Kombenla Mapinduzi dhidi ya Taifa Jang’ombe kesho Saa 2:15 usiku Uwanja wa Amaan.
    Wakati huo huo: Uongozi wa Yanga umetoa orodha ya Matawi yaliyochukua nakala za Katiba mpya zenye mwongozo wa mageuzi ya kiuendeshaji na fomu za kuomba uanachama wa klabu hiyo.




    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MABINGWA WATUA ZENJI KUTETEA KOMBE LA MAPINDUZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top