• HABARI MPYA

    Monday, December 07, 2020

    NGORONGORO HEROES WATUA SAUDIA ARABIA KUJIANDAA NA FAINALI ZA AFCON U20 MWAKANI MAURITANIA



    WACHEZAJI wa timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20, Ngorongoro Heroes wakiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa King Khalid Jijini Riyadh, Saudi Arabia baada ya kuwasili mapema leo kwa ajili ya michezo miwili ya kirafiki ya kimataifa kujiandaa na Fainali za Afrika za U20 zitakazofanyika Mauritania kuanzia Februari 14 hadi Machi 4, mwakani

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NGORONGORO HEROES WATUA SAUDIA ARABIA KUJIANDAA NA FAINALI ZA AFCON U20 MWAKANI MAURITANIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top