• HABARI MPYA

    Wednesday, December 09, 2020

    JORGINHO AISAWAZISHIA CHELSEA YATOA SARE NA KRASNODAR


    Jorginho akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kusawazisha kwa penalti dakika ya 28 katika sare ya 1-1 na Krasnodar iliyotangulia kwa bao la Remy Cabella dakika ya 24 kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge, London. Chelsea na Sevilla zimefuzu kutoka kundi hilo kwenda 16 Bora
     

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JORGINHO AISAWAZISHIA CHELSEA YATOA SARE NA KRASNODAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top