Ruben Loftus-Cheek akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la tatu dakika ya 63 kufuatia Olivier Giroud kufunga la kwanza dakika ya 38 na Edin Hazard afunge la pili dakika ya 60 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Ushindi huo unaifanya Chelsea ifikishe pointi 63 baada ya kucheza mechi 32 na kurejea nafasi ya tano kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England, mbele ya Manchester United yenye pointi 61 na nyuma ya Arsenal yenye pointi 63 pia na wastani wa mzuri mabao pamoja na mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cristiano Ronaldo breaks down in tears wearing Diogo Jota's shirt after
Portugal 'won for him' at the World Cup, a year on from Liverpool star's
car crash death
-
After the final whistle, an emotional Cristiano Ronaldo held up and pulled
on a Portugal shirt bearing the number 21, a tribute to late team-mate
Diogo Jota.
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment